Monday, February 17, 2014


Chris (kushoto) na Mohsin wakipata 'moja moto moja baridi' na pichani chini ni wake zao.
Kila mmoja na mpenzi wake alisherekea Siku Kuu ya Wapendanao (Valentine's Day) kwa staili yake, wakiwemo Mzee wa Kazi Chris Lukosi na Bw. Mohsin ambao wao waliamua kutoka na wake zao na kwenda kula bata kiwanja cha CLUB GUVNOR LONDON kama wanavyoonekana pichani.
PICHA: Mdau wetu wa London, Uingereza

0 comments:

Post a Comment