Monday, February 17, 2014

Msanii Zuwena Mohammed 'Shilole' Februari 13, mwaka huu alimtembelea mama yake mlezi aitwaye Hamisa anayeishi Igunga Mjini mkoani Tabora alipokwenda na wasanii wenzake akina Madee na Queen Darleen kwa ajili ya shoo ya Siku ya Wapendanao.(Video na Denis Mtima / GPL, Igunga)

0 comments:

Post a Comment